Posts

Showing posts from April, 2020

KINYAUSI (MNYAUKO BACTERIA)

Image
JE USHAWAHI ONA HII SHAMBANI  KAMA NI NDIO, @kilimomatunda inatoa elimu kuhusu  hili MNYAUKO BACTERIA (KINYAUSI) UTANGULIZI Ni  ugonjwa ambao husababishwa na bacteria. Bacteria huyu hushambulia sana sana familia ya mazao aina solanaceae mfano nyanya na viazi mviringo.Huu ugonjwa huweza kupunguza mavuno kwa kiasi kikubwa sana kama mkulima hata kuwa makini jinsi ya kuidhibiti.Wataalamu wa @kilimomatunda leo wamekuandalia jinsi ya kuutambua na kuudhibiti. DALILI ZA KIPEKEEE     Majani   unyauka lakini ubaki na rangi ya kijani   Ukikata kipande cha shina na kuweka ndani glass nyuepe  yenye maji  utaona ute ute unatoka kwa shina KUDHIBITI Tuna njia ambazo ni rahisi ambazo zenye matokeo chanya……kwa maelezo zaidi kuhusu hizi njia za kudhibiti ugunjwa huuu. KWA KUPIGA SIMU ILI KUPATA MAELEZO Kwa mtalaamu wetu     0769255000 KWA AJIRI YA PICHA AU VIDEO KWA ZAO HUSIKA KWA NJIA WHATSAPP     Namba      0769255000 TUNAPOKEA CHANGAMOT

UTUMIAJI WA MADAWA YA KILIMO KUTOKANA NA KISUMBUFU HUSIKA

Image
Karibu msomaji wangu katika tovuti uipendayo ya kilimo. WAHUSIKA WA @kilimomatunda WANAKULETEA HUDUMA AMBAYO ITAHUSHISHA UTAMBUZI WA KISUMBUFU(UGONJWA AU MDUDU) NA AINA YA DAWA YA KUTUMIA KATIKA SHAMBA LAKO. HII NI KUTOA DHANA YA WAKULIMA WENGI KUZITENGA BAADHI YA DAWA KUWA HAZIFANYI KAZI AU NI FEKI. UNAEZA TUMA PICHA YA ZAO LILOHARIBIWA NA VISUMBUFU KUPITIA NAMBA 0769255000  whatsapp