KINYAUSI (MNYAUKO BACTERIA)



JE USHAWAHI ONA HII SHAMBANI 


KAMA NI NDIO,
@kilimomatunda inatoa elimu kuhusu  hili

MNYAUKO BACTERIA (KINYAUSI)
UTANGULIZI
Ni  ugonjwa ambao husababishwa na bacteria.
Bacteria huyu hushambulia sana sana familia ya mazao aina solanaceae mfano nyanya na viazi mviringo.Huu ugonjwa huweza kupunguza mavuno kwa kiasi kikubwa sana kama mkulima hata kuwa makini jinsi ya kuidhibiti.Wataalamu wa @kilimomatunda leo wamekuandalia jinsi ya kuutambua na kuudhibiti.


DALILI ZA KIPEKEEE

  •    Majani   unyauka lakini ubaki na rangi ya kijani
  •   Ukikata kipande cha shina na kuweka ndani glass nyuepe  yenye maji  utaona ute ute unatoka kwa shina


KUDHIBITI
Tuna njia ambazo ni rahisi ambazo zenye matokeo chanya……kwa maelezo zaidi kuhusu hizi njia za kudhibiti ugunjwa huuu.

KWA KUPIGA SIMU ILI KUPATA MAELEZO
Kwa mtalaamu wetu    0769255000


KWA AJIRI YA PICHA AU VIDEO KWA ZAO HUSIKA KWA NJIA WHATSAPP
   Namba     0769255000

TUNAPOKEA CHANGAMOTO KATIKA ZAO HUSIKA SEHEMU YOYOTE  ILE.

KARIBU @KILIMOMATUNDA  

TUNAPATIKANA CHIMALA-MBEYA

KILIMO NI CHETU SOTE







Comments

Popular posts from this blog

Kilimo Bora Cha Matikiti Maji

KILIMO CHA MATIKITI MAJI toleo la pili

JIFUNZE KUHUSU KILIMO CHA KISASA CHA MATUNDA