UUZAJI WA MICHE

NI MICHE AMBAYO IMEFANYIWA GRAFTING YENYE UWEZO WA KUTOA MATUNDA MENGI KWA MDA MFUPI NA KATIKA VITALU VYETU TUNA MICHE ZAIDI YA KUMI NA MOJA AMBAYO NI:
  1. JAMII YA MICHUNGWA-chungwa,chenza,ndimu,limao,barungi,pomelo na daransi
  2. EMBE
  3. PARACHICHI
  4. PAPAI ZA MDA MFUPI
  5. PERA
  6. STAFELI
  7. TOPETOPE
  8. FENESI
  9. MIGOMBA
  10. ZAITUNI
  11. MNAZI
N:B......BEI YA MICHE YA MATUNDA INATOFAUTIANA

Kama unahitaji miche ya matunda sasa unaeza kuwasiliana nami hata  uliopo mkoani mzigo unafika ...Tupo Morogoro-MAENEO YA SUA. 0769255000

Comments

  1. Habari za leo. Nipo Dar es salaam naitaji miche ya maembe ya kisasa 50, papai za kisasa na mapera. Nawezaje kuzipata na bei yake ipoje.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

Kilimo Bora Cha Matikiti Maji

KILIMO CHA MATIKITI MAJI toleo la pili

JIFUNZE KUHUSU KILIMO CHA KISASA CHA MATUNDA