INAJIHUSISHA NA UTOAJI WA ELIMU KATIKA KILIMO CHA KISASA(MATUNDA,MBOGAMBOGA NA MAZAO).karibu tujifunze wote katika hii blog ili tufanikiwe katika KILIMO
Matikiti maji hulimwa kama zao la biashara katika sehemu nyingi duniani zenye hali ya hewa ya joto la wastani. Zao hili lina wapatia watu shughuri za kufanya na hivyo kuwapatia kipato kuanzia kwenye nyanja za uzalishaji hadi kwenye matumizi. Matikiti maji ni mojawapo ya jamii aina ya matunda au mbogaboga inayotambaa. Mbegu Bora za Matikiti Mbegu maarufu ya tikiti ni Sukari F1 , hata hivo madukani zinapatikana nyingi bora na tofauti tofauti kama vile: Arashani F1 – kutoka Syngenta Sukari F1 – Kutoka East Africa seeds Sugar king F1 – kutoka Africasia Juliana F1 – kutoka Kiboseed Zebra F1 – Kutoka Balton Pato F1 – Kutoka Agrichem MAHITAJI YA TIKITIMAJI Tikiti linakua vizuri katika udongo unaoshika maji vizuri lakini yasio tuama na kuruhusu mzunguko mzuri wa hewa na maji.Udongo wenye pH 5.8-6.6.pia kama pH ni ndogo tutakushauri cha kufanya ili iweze kuwa nzuri na ya kiasi kwa ajili tikitimaji....
KILIMO CHA MATUNDA Kilimo ambacho kinakua kwa kasi sana kwa Tanzania na kwa Dunia kiujumla,Uhuhitaji wa matunda kwa matumizi ya nyumbani na kiwandani huongezeka mara dufu kadri siku zinavyoenda.Hichi kilimo kinahusisha miti ambayo huchukua miaka miwili hadi mitatu mpaka kufikia mavuno. Kilimo cha matunda kinaumuhimu mkubwa sana kama i. Kuongeza kipato endelevu kwa mkulima ii. kuongeza uhakika wa chakula iii. kupungua hewa ya ukaa, ...
Fruits are important as a source of nutrients to supplement daily dietary requirements. They provide the bulk of vitamin C and vitamin A and also supply essential minerals such as iron and calcium. Apart from being a source of nutrients, fruits are a source of income and employment to many Tanzanian growers and traders. Both tropical and temperate fruits are produced in different parts of the country (Verheij, 1982). Production of temperate fruits occurs in the highland areas (Van Epenhuijsen, 1976) while production of tropical fruits takes place in the plateau, river basin and valley areas. Morogoro is one of the major fruit producing regions in Tanzania. It produces most tropical and some temperate fruits which are supplied to urban centres like Dar-es-salaam and Dodoma [United Republic of Tanzania (URT), 2002]. Presence of both tropical and temperate fruits in the country increases fruit diversity to local consumers, also the potential to supply fruits overseas especially...
Comments
Post a Comment