Posts

Showing posts from March, 2017

UMUHIMU WA MTI WA MPERA NA MATUNDA YAKE KIAFYA

Image
MTI wa mpera ni miongoni mwa miti ya matunda inayofahamika na wengi hapa nchini. Mti huu hutoa matunda yanayofahamika kama mapera. Asili ya mti huu ni Amerika ya Kati na Kusini licha ya kuwa siku hizi unapatikana sehemu mbalimbali nchini na duniani kote. Mmea huo kama ilivyo mimea mingine ya matunda, hustawi zaidi katika hali ya hewa ya kitropiki. Hapa nchini Tanzania mti huu unasadikika uliletwa na wakoloni waliotoka mashariki ya mbali waliokuja Afrika kwa madhumuni mbalimbali ikiwemo suala la kueneza dini ya Kiislamu na Kikristo. Mapera ni miongoni mwa matunda yenye kiwango kizuri cha vitamin C pamoja na vitamin A na inaelezwa kuwa kiwango cha vitamin C kinachopatikana ndani ya pera ni mara nne ya kiwango cha vitamin hiyo kinachopatikana kwenye chungwa. Pia mapera yamesheheni virutubisho mbalimbali ikiwa ni pamoja na vitamin B2, E na K pamoja na madini ya chuma, ‘copper’, ‘potassium’ na ‘manganese.’ Kwa mujibu wa utafiti uliowahi kuchapishwa na Jarida la Journal of Human H

kilimo cha maparachichi

Image
Matunda ya Maparachichi yanazidi kuwa ni mazao ya muhimu katika nchi za joto na joto kiasi katika ulimwengu. Kutokana na taarifa ya mwaka 1976, nchi ya Mexico ndiyo inayozalisha kwa wingi duniani ikifuatiwa na Marekani na Brazil. UZALISHAJI KATIKA AFRIKA. Maparachichi, mara nyingi hupandwa mbegu zake, huzalishwa kwa ajili ya chakula cha nyumbani katika maeneo mengi Afrika. Hata hivyo ni nchi chache zimeweza kuendeleza uzalishaji kwa kiasi kikubwa kwa ajili ya uuzaji nchi za nje. Kwa sasa Maparachichi husafirishwa na kuuzwa ulaya kutoka Ivory Coast, Cameroon, Kenya, Swaziland na maeneo mengine ya kusini mwa Africa. Maparachichi hustawi vizuri katika hali ya joto. Mimea ya Maparachichi hupandwa umbali wa mita 8 kwa mita 1. Katika eka moja kunaweza kukawa na idadi ya miti chini ya 400. BIASHARA. Kama kila mti utazaa matunda 50 kwa kiwango cha chini, kwa hiyo miti 400 itazaa matunda 400 * 50= 20,000. Ikiwa kila tunda litauzwa kwa shilingi 200 bei ya jumla, fedha itakayopatikana ni sh 20,

Embe ni zao lenye fursa kubwa sana ya kumwinua mjasiriamali

Image
Kwa ufupi Kampuni ya matunda ya Natureripe ya Kilimanjaro yenye makao yake makuu jijini Dar es Salaam inasema embe ni zao ambalo lina fursa za kumuinua mtu kiuchumi tena kwa haraka bila kutumia nguvu. Ni ajabu kuona kuwa Watanzania wengi wamekuwa hawaweki kipaumbele kwenye kilimo cha embe. Wengi wanapenda kilimo cha kahawa, pamba, korosho, lakini embe hapana. Hali hiyo imetokana na kilimo kukosa tija, na kutokuwapo kwa soko la uhakika la maembe. Kutokana na hali hiyo maembe mengi yanaozea mashambani kwa kukosa soko la uhakika na kusababisha wengi kutokutoa kipaumbele katika zao hilo. Kampuni ya matunda ya Natureripe ya Kilimanjaro yenye makao yake makuu jijini Dar es Salaam inasema embe ni zao ambalo lina fursa za kumuinua mtu kiuchumi tena kwa haraka bila kutumia nguvu. Embe lina soko kubwa Mkurugenzi wa Natureripe, Fatma Riyami anasema embe ni zao lenye soko kubwa duniani na linaweza kumwingizia mtu fedha nyingi kwa kipindi kifupi. “Tofauti na mazao mengine, una

KILIMO CHA PAPAI

Image
Papai ni moja ya tunda mashuhuli linatumika kwa kiasi kikubwa nchini Tanzania. Pia tunda hili linaweza kuwa na faida mbali na afya, katika kukuza uchumi wa mkulima wa zao hili. Pia linawezakuwa chanzo kikubwa cha pesa za kigeni kwa kuuza nje ya nchi. Uzalishaji wa papai nchini Tanzania ni kwa kiasi kidogo ukilinganisha na mahitaji ya watumiaji, hivyo inahitajika nguvu zaidi katika uzalishaji wa zao hili. MAVUNO NA FAIDA. Kama umelima ekarI moja unaweza ukapata matunda 15- 35 kwa mvuno wa Kwanza tu twende kimahesabu EkarI ina miche 400-800 Tuseme tupate miche 600 kwa ekari, kila mche utoe matunda 20 chini kabisa 600×20=12,000. Matunda Soko Kwa sasa unaweza ukauza kwa jumla jumla tsh 1500-3000 Tuuze kwa bei ya chini 1500 kwa kila papai 12000×1500=18,000,000/- Ukitoa Gharama za uendeshaji unaweza ukabaki na tsh 14,000,000 au toa 4,000,000 uweke kwenye dharura unaweza ukamake tsh 10 mil kwa ekar moja tu.

JOB OPPORTUNITY SUA

Image
SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE MOROGORO JOB OPPORTUNITY  Applications are invited from suitably qualified Tanzanians to fill a vacant position in the Intermediate Fellowship in Public Health and Tropical Medicine project funded by Wellcome Trust, UK, based at Sokoine University of Agriculture. Application letter accompanied with CV, Birth, Academic and Professional Certificates and recommendation letters from at least two referees be addressed to the DEPUTY VICE CHANCELLOR (ADMINISTRATION AND FINANCE), P.O BOX 3000, CHUO KIKUU, MOROGORO, to reach him not later than THREE weeks from the date of this advertisement. Job position: Research Assistant in Veterinary Epidemiology (One Post) The Job opportunity in the Intermediate Fellowship in Public Health and Tropical Medicine (IFPHTM) - Foot-and-Mouth Disease (FMD) Project titled “Full-genome is sequencing to identify determinants that impact upon footand-mouth disease virus strains with potential for enhanced transmission in endemi

NAFASI YA KAZI IT/SOCIAL MEDIA INTERNSHIP MARKETING - PRIME LOCATION INVESTMENTS LTD, TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 25 MARCH 2017

Image
Job Opportunity-Digital/IT Internship Fantastic learning experience. Learn to Earn. We are the fastest growing company and our digital department is growing faster too. We are looking for a very aggressive, disciplined and committed candidate to learn while working and growing his/her carrier. The interested candidate should have the following qualifications 1.    Diploma, advanced diploma or Degree in IT 2.    Fluent in English both speaking and writing 3.    Creative, passionate and conversant on social media, website contents management etc 4.    Capable to drive online sales/Telesales 5.    Ready to work FULL TIME 6.    Fast leaner The successful candidate should be ready to join us immediately on an internship basis. However, subject to his/her performance might be considered for permanent employment with very attractive salary. Send your detailed application letter with copied of your certificates  eric.emmanuel@primelocationtz.com Deadline is 25th March

MOJAWAPO YA FAIDA YA KUPANDA MITI YA MATUNDA

Image
        Kiukweli ndungu yangu kilimo cha matunda kinafaida kubwa sana,haipiti siku kwa watu waliowengi wanakula matunda,kwa leo nimetoa baadhi ya faida ya miti ya matunda.                          1.Ni chazo cha ajira    nchi nyingi zilizoendelea watu wake wamewekeza katika kilimo cha matunda na kuweza kuwapatia ajira ambayo imesaidia kuinua uchumi wa kifamilia.  2.Inaongeza virutubisho mwilini  kama upatikanaji wa vitamini A na C ambayo kazi yake nikituwezesha kuona vizuri. Na pia inasaidia upatikanaji wa madini ya kalsium na chuma ambayo inasaidia kuimarisha mifupa 3.Ni chazo cha pesa za kigeni Matunda yana soko kubwa sana duniani kwa sababu huitajika kila siku kwa hiyo nchi zilizowekeza katika kilimo cha matunda znapata pesa za kigeni kwa kuhuza kwa nchi nyengne.       
Image
Faida Za Pilipili Kichaa Kiafya Na Kitiba   Saturday, March 11, 201 7    Afya Pilipili kichaa inaweza kustawi sehemu mbalimbali na inahitaji siku 100 za ukuwaji. Hustawi zaidi kwenye mazingira ya joto na unyevunyevu.Mmea huu hukua kufikia urefu wa futi mbili hadi nne. Ina wingi wa  ·                      vitamini A ·                      pia ina vitamini B, ·                      vitamini E, ·                      vitamini C, ·                      Riboflavin, ·                      Potassium, ·                      Manganese. - Jamii nyingi hususa Marekani na bara la Asia wana historia ya kutumia pilipili kichaa kama tiba. Ni dawa yenye nguvu sana na matumizi mengi, ·                      hutumika sana kwa kusafisha damu na  ·                      kutoa sumu mwilini, ·                      pia hutumika kusisimua mzunguko wa damu na ·                      kuweka sawa uwiano wa tindikali(acid)mwilini. Pilipili kichaa imetumika kwa maradhi to
Image
Mbinu Za Kuondokana Na Umaskini Hadi Utajiri   Sunday, March 12, 2017   Kuna baadhi ya watu mbalimbali waliweza kueleza maana ya umaskini kutokana na wao wanavyoelewa. Wapo baadhi ya watu walisema kuwa umaskini hutokana mtu kuishi chini ya dola moja kwa siku. Wapo pia waliosema kuwa neno umaskini halina maana sahihi kutokana na kila msomi alivyokuwa na tafsiri yake. Tuachane na hayo na kuacha kila mmoja aweze kubaki na maana ambayo kila mmoja aweze kuelewa mwenyewe kutoka  na anavyoona jinsi maisha yake na jamii kwa ujumla. Fuatana nami katika muda huu ili uweze kujua mbinu za kuondokana na umaskini hadi utajiri. Zifuatazo ndizo mbinu za kuondokana na umaskini hadi utajiri. 1. Kuondokana na dhana potofu. Moja ya changamoto ambayo inatukumbuka wengi ni kuishi katika kuamini ya kwamba ni lazima ujihusishe na masuala ya kishirikina ili ufanikiwe zaidi. Misingi hiyo endapo utaishi nayo na kukua nayo itakufanya uamini ya kuwa maisha ya mafanikio hayapatikani kwa njia njia

Nafasi za kazi Ifakara Health Institute (IHI) bofya hapa

Image
Job Opportunity at , Deadline 25 Feb 2017 VACANCY ANNOUNCEMENT Summary: Ifakara Health Institute (IHI) is a non-governmental institute based in Tanzania with a mission of developing and sustaining health research capable of generating new knowledge and relevant information for public health policy and action. IHI is one of the leading research outfits in Africa maintaining collaboration with several other research institutes in the world. The IHI in collaboration with the Harvard T.H Chan School of Public Health will conduct a study that evaluates the effectiveness of promoting early child development through Community Health Workers (CHWs) and Conditional Cash Transfers (CCT) among mothers in Ifakara, Tanzania. Therefore, the IHI seeks a qualified person to fill the post of Study Coordinator. The coordinator will be responsible for providing overall leadership in the management, conduct, and reporting of a collaborative implementation of the study. Position: Study Coordinator (1)
Image
Fruits are important as a source of nutrients to supplement daily dietary requirements. They provide the bulk of vitamin C and vitamin A and also supply essential minerals such as iron and calcium. Apart from being a source of nutrients, fruits are a source of income and employment to many Tanzanian growers and traders. Both tropical and temperate fruits are produced in different parts of the country (Verheij, 1982). Production of temperate fruits occurs in the highland areas (Van Epenhuijsen, 1976) while production of tropical fruits takes place in the plateau, river basin and valley areas. Morogoro is one of the major fruit producing regions in Tanzania. It produces most tropical and some temperate fruits which are supplied to urban centres like Dar-es-salaam and Dodoma [United Republic of Tanzania (URT), 2002]. Presence of both tropical and temperate fruits in the country increases fruit diversity to local consumers, also the potential to supply fruits overseas especially