Posts

upimaji wa udongo

Image
KUPIMA UDONGO  upimaji wa udongo ni nini? UPIMAJI WA UDONGO ni kitendo cha kujua kiasi gani virutubisho vinapatikana katika udongo bila kusahau kujua uchachu wa udongo(pH). FAIDA ZA KUPIMA UDONGO 1.Kujua kiasi gani cha mbolea kinahitajika inamsaidia mkulima kujua anahitaji kiasi gani cha mbolea katika eneo husika..Mkulima hana haja yakuanza kukisia kukisia idadi ya mbolea.mfano unaweza kukadiria kuwa mifuko katika shamba lako inatosha mitatu kumbe unatosha mfuko mmoja. 2.Kutunza rotuba ya udongo kiasi kikubwa kuwekwa katika udongo upelekea afya ya udongo kudhorota na kupelekea rotuba kupungua...Mfano matumizi makubwa ya  UREA katika shamba inaweza kupelekea uchachu wa udongo kuwa mkubwa na hivyo kusababisha rotuba kupungua. 3.Kuongeza uzalishaji katika shamba lako kila zao linahitaji kiasi stahili cha virutubisho,ko endapo ukaweka mbolea kwa makadirio inaweza kusababisha zao husika kupata kiwango cha chini cha kirutubisho na kusababisha mavuno kuwa machache.Na pia unaweza kuweka kiwang

KILIMO CHA NDIZI

Image
UTANGULIZI KILIMO CHA NDIZI ili uweze kulima kibishara licha ya kuwa na changamoto za magonjwa na wadudu basi kinahitaji ufuate mbino Bora za kilimo. Mbinu Bora za kilimo kinaendana na uchaguaji wa mbegu bora ambazo hazina vimelea vya magonjwa mbalimbali pia zenye kuimili mihangaiko yoyote itakayo tokea Kama mvua nyingi au mvua chache,baridi au joto kali na pia upepo... Pia tunalenga katika uzalishaji wa kiasi kikubwa ambacho ndo kiini cha lengo la kupanda migomba ,migomba inayo itajika ni ile ambayo huzaaa kwa kiasi kikubwa ili uweze kupata kipato kikubwa. VITU MUHIMU Ndizi(vidole) hukaa katika makundi madogo inayoitwa kichana huwa na ndizi(vidole) 20 ambayo mkungu mmoja huchukua vichana kuanzia 3 hadi 20 kwa wastani..kutokana na Aina tofauti tofauti za migomba uzito wa mkungu  kuanzia  kilo 30 Hadi 50. Tunaaina mbili za migomba 1.migomba ya kienyeji 2.migomba ya kisasa 1.Migomba ya kienyeji Hiii hotolewa kutoka kwa mama..mfano mzuzu,mshare,kisukari,mkono wa tembo n.k 2.migomba  ya ki

JIFUNZE KUHUSU KILIMO CHA KISASA CHA MATUNDA

Image
KILIMO CHA MATUNDA Kilimo ambacho kinakua kwa kasi sana kwa Tanzania na kwa Dunia kiujumla,Uhuhitaji wa matunda kwa matumizi ya nyumbani na kiwandani huongezeka mara dufu kadri siku zinavyoenda.Hichi kilimo kinahusisha miti ambayo huchukua miaka miwili hadi mitatu mpaka kufikia mavuno. Kilimo cha matunda kinaumuhimu mkubwa sana kama                                 i.     Kuongeza kipato endelevu kwa mkulima                               ii. kuongeza uhakika wa chakula                             iii. kupungua hewa ya ukaa,                              iv. kupunguza ongezeko la joto, na kuboresha mkusanyiko wa mawingu ya mvua,                                v.    kuimarisha utunzaji wa maji aridhini katika maeneo ya mashambani                              vi.     Hakina gharama kubwa katika utunzaji Hivyo basi elimu ya  utunzaji mzuri wa bustani za matunda ni muhimu ili kuweka mazingira mazuri ya uoto wa kijani, kuhifadhi ardhi na kujihami na mabadiliko ya tabia nchi .

KILIMO CHA VITUNGUU

Image
Utangulizi Kitunguu ni mojawapo la zao linalimwa kwa wingi na pia linawatumiaji wa kila siku nchini na nje ya nchi.  Linachukua nafasi ya pili baada ya nyanya. Kitunguu kinatumika katika kachumbari, kama kiungo kwenye kitoweo kama vile Samaki, nyama, mboga za mahani n.k. Majani ya vitunguu hutumika kama mboga. Vitnguu pia hutumika kuandalia supu.vitunguu vimetofautiana kwa rangi(nyekundu,njano na nyeupe),umbo(mviringo na bapa) na radha(tamu na punget).   Mahitaji muhimu kwenye kilimo cha vitunguu 1.Hali ya hewa Kitunguu hustawi vizuri kwenye mvua kiasi mm 500 had mm 700.Hali ya ujoto eneo hilo liwe na ujoto kiasi ambacho kinaweza kuwa nyuzi za joto 15 hadi 30,joto la kawaida sana.Endapo joto likazidi nyuzi joto 30 kitunguuu hukomaa kwa haraka kabla ya mda wake na pia kupelekea umbo kuwa dogo na mavuno kupungua .Endapo joto likawa chini sana inasababisha ukuaji wa taratibu na kitunguuu kuanza kutoa mauwa kabla ya wakati na pia hali ya baridi hupelekea magonjwa ya majani.